Home » » STARS NA CHAD KATIKA PICHA JANA

STARS NA CHAD KATIKA PICHA JANA



Nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Mbwana Samatta (kulia) akipambana na beki wa Chad katika mchezo wa Kundi G, kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika 2017 jana Uwanja wa Omnisports Idriss Mahamat Ouya mjini D'jamena. Taifa Stars ilishinda 1-0

Mshambuliaji wa Taifa Stars, Mbwana Samatta akimvisha kanzu ya kisigino watoto wa bongo wanasema 'kizungu' beki wa Chad jana

Mshambuliaji wa Taifa Stars, Thomas Ulimwengu akigombea mpira na beki wa Chad jana

Winga wa Taifa Stars, Farid Mussa akimtoka beki wa Chad jana

Kiungo wa Taifa Stars, Mwinyi Kazimoto akitafuta maarifa ya kuwapita wachezaji wa Chad jana

Beki wa kulia wa Taifa Stars, Shomary Kapombe (kushoto) akitafuta maarifa ya kumpira beki wa Chad jana

Mshambuliaji wa Tanzania, Thomas Ulimwengu akimruka kipa wa Chad baada ya kudaka mpira

Kiungo wa Taifa Stars, Jonas Mkude akimtoka mchezaji wa Chad huku akifikiria pia namna ya kumpita mchezaji mwingine wa timu hiyo jana

Kiungo wa Taifa Stars, Himid Mao (kulia) akiwania mpira dhidi ya mshambuliaji wa Chad jana 

Kikosi cha Taifa Stars kilichlifunga 1-0 Chad jana mjini D'jamena
Toa maoni yako kwa habari hii kwa kuweka email yako hapa,na endelea kutufatilia zaidi Ukurasa wa habari

0 comments:

 
Supported by AMAGA Media services : | |
Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
Templete Designed by Abdallah Magana
Proudly powered by Blogger