Home »
» STARS NA CHAD KATIKA PICHA JANA
STARS NA CHAD KATIKA PICHA JANA
|
Nahodha
wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Mbwana Samatta (kulia)
akipambana na beki wa Chad katika mchezo wa Kundi G, kufuzu Fainali za
Mataifa ya Afrika 2017 jana Uwanja wa Omnisports Idriss Mahamat Ouya
mjini D'jamena. Taifa Stars ilishinda 1-0 |
|
Mshambuliaji wa Taifa Stars, Mbwana Samatta akimvisha kanzu ya kisigino watoto wa bongo wanasema 'kizungu' beki wa Chad jana |
|
Mshambuliaji wa Taifa Stars, Thomas Ulimwengu akigombea mpira na beki wa Chad jana |
|
Winga wa Taifa Stars, Farid Mussa akimtoka beki wa Chad jana |
|
Kiungo wa Taifa Stars, Mwinyi Kazimoto akitafuta maarifa ya kuwapita wachezaji wa Chad jana |
|
Beki wa kulia wa Taifa Stars, Shomary Kapombe (kushoto) akitafuta maarifa ya kumpira beki wa Chad jana |
|
Mshambuliaji wa Tanzania, Thomas Ulimwengu akimruka kipa wa Chad baada ya kudaka mpira |
|
Kiungo
wa Taifa Stars, Jonas Mkude akimtoka mchezaji wa Chad huku akifikiria
pia namna ya kumpita mchezaji mwingine wa timu hiyo jana |
|
Kiungo wa Taifa Stars, Himid Mao (kulia) akiwania mpira dhidi ya mshambuliaji wa Chad jana |
|
Kikosi cha Taifa Stars kilichlifunga 1-0 Chad jana mjini D'jamena |
0 comments:
Post a Comment