Home » » BENITEZ KOCHA MPYA NEWCASTLE

BENITEZ KOCHA MPYA NEWCASTLE



Mtaalamu wa Kispanyola, Rafael Benitez akiwa na jezi ya Newcastle United pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa klabu hiyo, Lee Charnley baada ya kutambulishwa kuwa kocha mpya kufuatia kusaini Mkataba wa miaka mitatu kuchukua nafasi ya Steve McClaren aliyefukuzwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Toa maoni yako kwa habari hii kwa kuweka email yako hapa,na endelea kutufatilia zaidi Ukurasa wa habari

0 comments:

 
Supported by AMAGA Media services : | |
Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
Templete Designed by Abdallah Magana
Proudly powered by Blogger