Home » » Ratiba ya Ligi Kuu ya Uingereza EPL leo Jumamosi, Machi 12

Ratiba ya Ligi Kuu ya Uingereza EPL leo Jumamosi, Machi 12


Ligi Kuu ya Uingereza inataraji kuendelea leo kwa michezo mitatu.
Mchezo wa kwanza Manchester City itakuwa ugenini kuwafata Norwich City katika uwanja wa Carrow Road, mchezo unaotarajiwa kuchezwa majira ya saa 15:45 kwa masaa ya Afrika Mashariki.
Michezo mingine ni;
Bournemouth – Swansea City 18:00 EAT
Stoke City – Southampton 18:00 EAT (P.T)

Tuma Maoni


    Ligi Kuu ya Uingereza inataraji kuendelea leo kwa michezo mitatu.
    Mchezo wa kwanza Manchester City itakuwa ugenini kuwafata Norwich City katika uwanja wa Carrow Road, mchezo unaotarajiwa kuchezwa majira ya saa 15:45 kwa masaa ya Afrika Mashariki.
    Michezo mingine ni;
    Bournemouth – Swansea City 18:00 EAT
    Stoke City – Southampton 18:00 EAT (P.T)

     

    Toa maoni yako kwa habari hii kwa kuweka email yako hapa,na endelea kutufatilia zaidi Ukurasa wa habari

    0 comments:

     
    Supported by AMAGA Media services : | |
    Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
    Templete Designed by Abdallah Magana
    Proudly powered by Blogger