Home » » Ajali ya Ndege ya FlyDubai ilivyoua watu zaidi ya 60

Ajali ya Ndege ya FlyDubai ilivyoua watu zaidi ya 60

Kwenye Vyombo vya habari vya Kimataifa, habari inayomake headline ni kuhusiana na ajali ya Ndege iliyotokea mapema leo. Ndege ya FlyDubai ambayo ilikuwa ikitokea Dubai na watu 62 imeapata ajali wakati ikijaribu kutua uwanja wa ndege katika mji wa Rostov-on-Don nchini Urusi.
Inaripotiwa kuwa abiria wote 55 na wafanyakazi saba wamekufa kwenye ajali hiyo, kwa mujibu wa orodha ya waathirika iliyochapishwa kwenye tovuti ya Serikali inaripotiwa kuwa upepo mkali ulionekana kuwa ndio umesababisha ajali hiyo.
russia-plane-crash
Mabaki ya ndege iliyopata ajali kama inavyoonekana
Toa maoni yako kwa habari hii kwa kuweka email yako hapa,na endelea kutufatilia zaidi Ukurasa wa habari

0 comments:

 
Supported by AMAGA Media services : | |
Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
Templete Designed by Abdallah Magana
Proudly powered by Blogger