Home » » Manchester United wamepokea kichapo Anfield dhidi ya Liverpool

Manchester United wamepokea kichapo Anfield dhidi ya Liverpool

Ads Separator












 

Usiku wa March 10 michuano ya Europa League iliendelea kwa michezo kadhaa kupigwa Barani Ulaya, Uingereza kulikuwa kuna mchezo wa kuvutia zaidi baina ya Liverpool dhidi ya Manchester United katika dimba la Anfield.


12822366_477920652413610_1339610887_n
Roberto Firmino akishangilia goli
Takwimu za vilabu hivi kabla ya mchezo huu kupigwa , Man United alikuwa na takwimu nzuri licha ya kupokea kipigo cha goli 2-0 kwa mujibu wa mechiza mwisho za Manchester United na Livepool walivyokutana, Man United alikuwa kashinda mara nne na Liverpool mara moja


Hata hivyo takwimu hizo hazikuwa na msaada wowote kwa Man United  kwani vijana wa Jurgen Klopp  walifanikiwa kuifunga Man United kuanzia dakika ya 20 kupitia kwa Danny Sturridge kwa mkwaju wa penati, kabla ya dakika ya 73′ Roberto Firmino kupachika goli la pili lililoimaliza Man United na kufanya mchezo umalizike kwa Liverpool kuibuka na ushindi wa goli 2-0.


unaweza kuyatazama hapa magoli ya Liverpool vs Manchester United

                                                          
Toa maoni yako kwa habari hii kwa kuweka email yako hapa,na endelea kutufatilia zaidi Ukurasa wa habari

0 comments:

 
Supported by AMAGA Media services : | |
Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
Templete Designed by Abdallah Magana
Proudly powered by Blogger