Home » » Messi Atua manchester City,ajifunga miaka 5

Messi Atua manchester City,ajifunga miaka 5

                           
Mshambuliaji wa Barcelona na timu ya taifa ya Argentina Leo Messi amejiunga na timu ya manchester city kwa ada ya paund million 200.Messi amesaini mkataba wa miaka 5 katika klabu hiyo inayomilikiwa na waharabu.
Messi amekua mchezaji ghari kununuliwa duniani baada ya kununuliwa kwa pesa nyingi na kumfunika mpinzani wake wa karibu Cristiano Ronaldo ambaye mwaka 2009 alinunuliwaa kwa paundi milllion 80 akitoka Man u kwenda Real madridi

(wajinga ndiyo waliwao, tusherehekee siku ya wajinga duniani, April Fouls!!)
Toa maoni yako kwa habari hii kwa kuweka email yako hapa,na endelea kutufatilia zaidi Ukurasa wa habari

0 comments:

 
Supported by AMAGA Media services : | |
Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
Templete Designed by Abdallah Magana
Proudly powered by Blogger