BAO 2 za Harry Kane zimeipa ushindi Tottenham walipoifunga Aston Villa 2-0 huko Villa Park.
Ushindi huo umeifanya Spurs iwe Pointi 2 nyuma ya Vinara Leicester City lakini wao wamecheza Mechi 1 zaidi.
Kesho
Usiku Leicester wako kwao King Power Stadium kucheza na Newcastle
ambayo ni ya pili toka mkiani lakini sasa wana Meneja mpya, Rafa
Benitez, anaeanza kazi yake mpya rasmi hiyo kesho baada ya kupewa
wadhifa huo Juzi alipotimuliwa Steve McClaren.
LIGI KUU ENGLAND
**Saa za Bongo
Jumapili Machi 13
Aston Villa 0 Tottenham 2
Jumatatu Machi 14
2300 Leicester City v Newcastle
Jumamosi Machi 19
1545 Everton v Arsenal
1800 Chelsea v West Ham
1800 Crystal Palace v Leicester
1800 Watford v Stoke
1800 West Brom v Norwich
2030 Swansea v Aston Villa
Jumapili Machi 20
1630 Newcastle v Sunderland
1630 Southampton v Liverpool
1900 Man City v Man United
1900 Tottenham v Bournemouth
0 comments:
Post a Comment