Home » » RAFAEL BENITEZ KOCHA MPYA REAL MADRID

RAFAEL BENITEZ KOCHA MPYA REAL MADRID

 

 Salim Kikeke's photo.
Rafael Benitez ametambulishwa rasmi kama meneja mpya wa Real Madrid. Akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari amesema:
"Hii ni ngumu, kutakiwa kuzungumza, lakini sijui niseme nini," amesema meneja huyo wa zamani wa Liverpool.
"Madrid ndio nyumbani. Ni hisia kali kurejea. Ni matumaini yangu kuwa mambo yatakwenda sawa, na timu icheze kandanda nzuri na kushinda makombe.
 
Toa maoni yako kwa habari hii kwa kuweka email yako hapa,na endelea kutufatilia zaidi Ukurasa wa habari

0 comments:

 
Supported by AMAGA Media services : | |
Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
Templete Designed by Abdallah Magana
Proudly powered by Blogger