Home » » MUFTI MKUU WA TANZANIA AFARIKI DUNIA

MUFTI MKUU WA TANZANIA AFARIKI DUNIA

 ShekheMkuu

Mitandao ya Kijamii imekuwa njia rahisi zaidi kufanya taarifa kuwafikia watu wengi kwa haraka zaidi, kilichokua nafasi kubwa leo ni ishu ya msiba wa Kiongozi wa Dini ya Kiislamu Tanzania.
 kuna stori inayothibitisha msiba wa aliyekuwa  Sheikh Mkuu wa Tanzania, Mufti Issa bin Shaaban Simba ambaye amefariki katika Hospitali ya TMJ Dar.
Naifuatilia hii stori kwa ukaribu,  
Aliyekuwa Kiongozi Mkuu wa Waislamu Tanzania, Mufti Issa Bin Shaaban Simba
Toa maoni yako kwa habari hii kwa kuweka email yako hapa,na endelea kutufatilia zaidi Ukurasa wa habari

0 comments:

 
Supported by AMAGA Media services : | |
Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
Templete Designed by Abdallah Magana
Proudly powered by Blogger