Home » » MBEYA CITY YABOMOLEWA TENA......MATOGORO NAYE AMFUTA JULIO NA PAUL NONGA MWADUI FC

MBEYA CITY YABOMOLEWA TENA......MATOGORO NAYE AMFUTA JULIO NA PAUL NONGA MWADUI FC







Klabu ya Mwadui ya mkoani Shinyanga imefanikiwa kumnasa kiungo Anthony Matogola kutoka klabu ya Mbeya City.
Kiungo huyo amesaini mkataba wa mwaka mmoja leo klabuni hapo mara baada ya mazungumzo ya pande zote mbili kukamilika



Toa maoni yako kwa habari hii kwa kuweka email yako hapa,na endelea kutufatilia zaidi Ukurasa wa habari

0 comments:

 
Supported by AMAGA Media services : | |
Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
Templete Designed by Abdallah Magana
Proudly powered by Blogger