MUGABE MPIGA KIJEMBE OBAMA Ni baada Ya kuhalalisha ndoa za jinsia moja...

 
    mugabe
    Ndani ya wiki moja baada ya Serikali ya Marekani kupitisha Sheria ya kuruhusu Ndoa za jinsia moja kwa raia wake kumekuwepo na maoni mbalimbali kutoka kwa watu kuhusiana na maamuzi hayo.
    Mmoja wa watu walioguswa na maamuzi hayo ni Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabeambaye ameeleza hisia zake baada ya maamuzi hayo kupitishwa.
    obamaRais wa Marekani Barack Obama
    Katika mahojiano na radio ya Taifa ya Zimbwabwe, Mugabe alisema hawezi kupingana na maamuzi ya nchi hiyo kwani ni sheria ambayo imepitishwa na Serikali na kama ni hivyo ataamua kufunga safari kwenda mpaka Washington kuomba kufunga ndoa na RaisBarack Obama.
    Ameongeza kuwa, Serikali ya Marekani imekuwa ikiongozwa na wajinga ambao ni  wafuasi wa shetani wanaoitukana taifa la Marekani akisisitiza Marekani imechafuka na wanaiendesha nchi kwa dhana zao binafsi ambazo ni potofu

    Tazama Orodha ya Waliochaguliwa Kujiunga na kidato cha Tano Julai 2015

    Hii hapa Video mpya ya Ali Kiba ‘Chekecha Cheketua’

           kiba                                               

    KIM KADARSHIAN KURUDI SHULE TENA

    kk
    Kim Kardashian ni mwanadada ambaye anajulikana kwa kutengeneza headlines nyingi sana na moja kati ya headlines anazoziweka public personality huyu ni zile zinazohusu uzuri wake. Lakini Kim anasema amechoshwa na fikra za watu wengi wanaodhani kuwa yeye ni mwanamke mzuri tuu asiye na akili ya kufikria mbali, na kwa sababu hiyo staa huyu ameweka headlines nyingine kubwa, ametangaza kurudi shule!
    Kim Kadarshian amesema anahisi yeye kama mtu binafsi hana uwezo mkubwa wa kutosha kiakili. Licha ya mamillioni na umaarufu wote alionao sasa hivi, Kim ameamua kurudi shule kupanua IQ huku akidai IQ yake haiko kwenye levo anayoitaka na anaona bora arudi kusoma, ameshapata umaarufu na pesa yupo tayari kuwekeza nguvu zake kwenye vitu vingine anavyoona ni muhimu na mume wake Kanye West amekua akimsisitiza Kim kujaribu vitu tofauti haswa kipindi hiki ambacho ana mimba.
    Lakini kumekuwa na baadhi ya watu wanaohisi kuwa jambo hili sio la ukweli na Kim anataka kupata watazamaji wengi zaidi wa Tv reality show yake Keeping up with The Kadarshians lakini msemaji wa Kim amepinga maneno haya na kusema kuwa staa huyo yupo serious na kurudi kusoma, na yeye kupata watazamaji wengi zaidi haiusiani ya maamuzi yake binafsi. Kwenye interview aliofanya, staa huyo alisema;
    >>> “Nahisi nishafanikisha lengo la kuwa maarufu na tajiri, kwa kipindi cha zaidi ya miaka kumi na kitu hilo ndio lilikua lengo langu, likatimia, nikajulikana, nikawa tajiri, nikaolewa na kuzaa mtoto wangu wa kwanza na sasa nategemea mtoto wa pili, nahisi umefika wakati wa mimi kurudi kusoma”. >>> Kim Kadarshian.
    Msemaji mkuu wa Kim Kadarshian amesema kwa sasa wanaangalia namna ya kufanikisha zoezi la yeye kupata vipindi maalum nyumbani kwake kwa ushirikiano wa mwalimu atakayekuwa tayari kumsaidia kufanikisha lengo hili.

    LOWASSA AFUNGA MKOA WA MOROGORO

    l4l6
    l1
    Katibu wa CCM Wilaya ya Morogoro Mjini, Kulwa Milonge, akionyesha fomu zenye orodha ya majina ya wanachama wa ccm,104,03  waliomdhamini kugombea urais, Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa(kulia).
    l2
    Mwenyekiti Mstaafu wa CCM Mkoa wa Morogoro, Kanali Mstaafu, Isaac Mwasongo, akisindikiza na Mwanasiasa Mkongwe, Steven Mashishanga(kushoto) baada ya kuzngumza katika mkutano wa Waziri Mkuu wa zamani,Edward Lowassa, wa  Mkoa wa mwisho wa kupokea majina ya wadhamini kugombea urais
    l3
    l4l6
    Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, akizungumza na wanachama wa CCM na wananchi wa Mkoa wa Morogoro jana wakati wa akitoa shukrani katika kuhitimisha Mkoa wa mwisho wa kupokea orodha ya majina ya wadhamini wa kugombea urais

     

    MAGAZETI YA LEO JUMANNE JUNE 30,2013




    Na Awadh Ibrahim

     

    New Video Big Sean Ft Chris Brown & Ty Dolla $ign - Play No Games (Official Video)

                                                             

    TAMAA YA MADARAKA:BLATTER SIKUJIUZURU KAMA RAIS WA FIFA

    Blatter:Sikujiuzulu kama rais wa FIFA
    Rais wa shirikisho la soka duniani Sepp Blatter amekariri kuwa hakujiuzulu kama rais wa shirikisho hilo.
    Kiongozi huyo mswissi mwenye mri wa miaka 79 alikuwa amedhaniwa kujiondoa madarakani juni tarehe 2 kufuatia kashfa kubwa ya ufisadi ulajirushwa na matumizi mabaya ya madaraka iliyokumba shirikisho lake lakini sasa anaonesha dalili za kubadili mtazamo huo.
    Blatter ambaye ameiongoza FIFA kwa miaka 17 alikuwa ametangaza kuwa atajiondoa mbele ya kamati kuu ilikufanyike uchunguzi wa kina katika FIFA lakini sasa ameikumbusha jarida moja la uswisi BLICK kuwa yeye ndiye rais wa FIFA na kuwa aliweka hatima yake mikononi mwa kamati kuu ya shirikisho katika mkutano wa dharura.
     
    null
    Hakuna mipango ya Blatter kuelekea Canada kwa Fainali ya kombe la Dunia la wanawake
    Blatter anadhaniwa kuwa anafikiria kuwania tena uongozi wa shirikisho hilo.
    Tuhuma za udhabirifu wa fedha ufisadi na ulaji rushwa ulianza katika ileile wiki ambayo Blatter alichaguliwa ikiendeshwa na Marekani.
    Lakini punde baada ya uchaguzi utawala nchini Uswisi nao ukaanzisha uchunguzi sambamba wa ulaji rushwa na ufisadi dhidi ya maafisa wakuu katika shirikisho la soka duniani FIFA.
    Blatter alitangaza kuwa anajiondoa uongozini ilikuruhusu uchunguzi ufanyike siku nne tu baada ya kuchaguliwa upya kwa hatamu ya uongozi wa FIFA.
     
    null
    Ng'o Siondoki !
    Kufuatia uchunguzi unaoendelea hakuna mipango na dalili zozote kuwa Blatter ama katibu mkuu wa FIFA
    Jerome Valcke atakuwa mjini Ontario Canada katika fainali ya kombe la dunia kwa wanawake.
    Kwa kawaida Blatter angekuwa huko ilikutoa zawadi ya kombe la dunia kwa timu itakayoibuka mshindi lakini hadi kufikia sasa hakuna mipango yoyote ya ziara hiyo.

    MAGAZETI YA LEO JUMAPILI JUNE 28,2015 HAYA HAPA

    LEO JUMAPILI


      Na Awadh Ibrahim


       

       
      Supported by AMAGA Media services : | |
      Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
      Templete Designed by Abdallah Magana
      Proudly powered by Blogger