Home » » SOUTHAMPTON YASAJILI BEKI.

SOUTHAMPTON YASAJILI BEKI.

 Salim Kikeke's photo.
   Cuco Martina

Southampton wamemsajili beki Cuco Martina kutoka FC Twente. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25 amesaini mkataba wa miaka miwili na atajiunga na kikosi hicho kambini nchini Austria
Toa maoni yako kwa habari hii kwa kuweka email yako hapa,na endelea kutufatilia zaidi Ukurasa wa habari

0 comments:

 
Supported by AMAGA Media services : | |
Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
Templete Designed by Abdallah Magana
Proudly powered by Blogger