Home » » LOWASSA AREJESHA FOMU DODOMA

LOWASSA AREJESHA FOMU DODOMA

1
Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, akimkabidhi Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara , Rajabu Ruhavi (kushoto) fomu ya kugombea urais Mjini Dodoma jana.
2
Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, akizungumza na waandishi wa habari Mjini Dodoma jana baada ya kurejesha  fomu za kugombea urais. Kushoto ni Mwanasiasa Mkongwe Kingunge Ngombale Mwiru na Mke wake Regina Lowassa.
3
Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, akiwa katika picha ya pamoj na  Wenyeviti wa Mikoa wa CCM baada ya kurejesha  fomu za kugombea urais Mjini Dodoma jana.
Toa maoni yako kwa habari hii kwa kuweka email yako hapa,na endelea kutufatilia zaidi Ukurasa wa habari

0 comments:

 
Supported by AMAGA Media services : | |
Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
Templete Designed by Abdallah Magana
Proudly powered by Blogger