Home » » BARCLAYS ASIA TROPHY-ARSENAL YATWAA KOMBE HUKO SINGAPORE!

BARCLAYS ASIA TROPHY-ARSENAL YATWAA KOMBE HUKO SINGAPORE!

cq5dam.thumbnail.490.338.margin                                                                                                                                                         Arsenal Leo hii imeichapa Everton 3-0 na kutwaa Barclays Asia Trophy huko Singapore National Stadium, Mjini Singapore. 
Bao za Arsenal hii Leo zilifungwa na Theo Walcott, Santi Cazorla na Mesut Özil katika Mechi ambayo Kipa Petr Cech, aliehamia hivi karibuni kutoka Chelsea, kucheza Mechi yake ya kwanza mbele ya Watazamaji 53,000.
Bao pekee la Everton lilifungwa na Ross Barkley.
BARCLAYS ASIA TROPHY
RATIBA/MATOKEO:
*Saa za Bongo
Jumatano Julai 15          
Everton FC 0 Stoke City FC 0 [Everton yashinda Penati 5-4]
Arsenal FC 4 Kombaini ya Singapore 0
Jumamosi Julai 18         
Mshindi wa Tatu
Stoke 2 Singapore 0
Fainali
Everton 1 Arsenal 2
Toa maoni yako kwa habari hii kwa kuweka email yako hapa,na endelea kutufatilia zaidi Ukurasa wa habari

0 comments:

 
Supported by AMAGA Media services : | |
Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
Templete Designed by Abdallah Magana
Proudly powered by Blogger