Kaimu
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO),Decklan
Mhaiki (kulia) akizungumza na waandishi (hawapo pichani) Dar es Salaam
kuhusu malipo ya sasa ya gharama za Umeme nchini.Mwengine ni Kaimu
Meneja Mawasiliano na Uhusiano kwa Wateja,Leila Muhaji.
Kaimu Meneja Mawasiliano na Uhusiano kwa Wateja,Leila Muhaji.akiwakaribisha waandishi kwenye mkutano.
Kaimu
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO),Decklan
Mhaiki (katikati) akizungumza.Wengine ni Kaimu Meneja Mawasiliano na
Uhusiano kwa Wateja,Leila Muhaji (kushoto) na Katibu wa Mkurugenzi
Mtendaji,Pius Gaspar.
Kaimu
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO),Decklan
Mhaiki(kushoto) akizungumza na waandishi.Mwengine ni Katibu wa
Mkurugenzi Mtendaji,Pius Gaspar.
Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vya habari wakiwa kazini.(P.T)
0 comments:
Post a Comment