Home » » AL AHLY HAWA HAPA, WAMETUA ALFAJIRI DAR

AL AHLY HAWA HAPA, WAMETUA ALFAJIRI DAR


Wachezaji wa Al Ahly ya Misri wakiwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam Alfajiri ya leo tayari kwa mchezo wao wa Jumamosi dhidi ya wenyeji, Yanga
Kocha Mholanzi, Martin Jol akifurahia baada ya kukanyaga ardhi ya Dar es Salaam kwa ajili ya mchezo wa kwanza wa hatua ya 16 Bora
Wachezaji wa Al Ahly wakipanda basi kuelekea hoteli ya Serena walipofikia
Wamewasili wakionekana wako vizuri kuelekea mchezo huo
Wachezaji wote walivalia fulana na suruali za michezo katika safari yao ya kuja Dar es Salaam
Toa maoni yako kwa habari hii kwa kuweka email yako hapa,na endelea kutufatilia zaidi Ukurasa wa habari

0 comments:

 
Supported by AMAGA Media services : | |
Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
Templete Designed by Abdallah Magana
Proudly powered by Blogger