Home » » PICHAZ; KOBE BRAYANT ALIVYOSTAAFU RASMI, JAY Z, DAVID BECKHAM, MASTAA KIBAO WAHUDHURIA

PICHAZ; KOBE BRAYANT ALIVYOSTAAFU RASMI, JAY Z, DAVID BECKHAM, MASTAA KIBAO WAHUDHURIA



Hakuna refu lisilokuwa na ncha. Mcheza kikapu maarufu wa Marekani, Kobe Bryant amestaafu.

Nyota huyo wa LA Lakers amestaafu na kuagwa na mashabiki kibao wakiwemo nyota wa muziki kama Jay Z, soka wakiongozwa na David Beckham na kikapu wakiongozwa na Magic Johnson.

Katika siku ya kuagwa, Kobe aliyecheza kwenye NBA kwa miaka 20 aliingoza Lakers kushinda kwa pointi 101-96 dhidi ya Utah Jazz huku yeye akifunga pointi 60 na kuweka rekodi ya aina yake.




















14 Apr 2016


Next
JULIO AFUNGUKA, ASEMA YANGA, AZAM WAMEZOEA KUDEKEZWA, HAWATAKI WENGINE WAWE MABINGWA
Previous
MASHABIKI AL AHLY WAONDOKA NA NEMBO YA SIMBA, WATAITUMIA
Toa maoni yako kwa habari hii kwa kuweka email yako hapa,na endelea kutufatilia zaidi Ukurasa wa habari

0 comments:

 
Supported by AMAGA Media services : | |
Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
Templete Designed by Abdallah Magana
Proudly powered by Blogger