Home » » Liverpool waitwanga Dortmund,watinga nusu Fainali ya EROUPA

Liverpool waitwanga Dortmund,watinga nusu Fainali ya EROUPA

3330D88E00000578-3540569-image-a-148_1460669635304  
Siku moja baada ya michezo ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kuchezwa na kushuhudia vilabu kadhaa vikiaga mashindano hayo, usiku wa April 14 ilikuwa ni zamu ya kushuhudia robo fainali ya michuano ya UEFA Europa league.
Miongoni mwa michezo iliyokuwa inatazamwa usiku wa April 14 ni mchezo kati ya Liverpool dhidi ya Borrusia Dortmund uliyochezwa katika dimba la Anfield, mchezo huo ulimalizika kwa Liverpool kuibuka na ushindi wa goli 4-3, hivyo kuiondoa Dortmund kwa aggregate ya 5-4.
3330D88E00000578-3540569-image-a-148_1460669635304
Magoli ya Dortmund yalifungwa na Henrik Mkhitaryan dakika ya 5, Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 9 na Marco Reus dakika ya 57, wakati magoli ya Liverpool yalifungwa na Divock Origi dakika ya 48, Philippe Coutinho dakika ya 66, Mamadou Sakho  dakika ya 78 na Dejan Lovren dakika ya 90.
as
Hii ndio rekodi ya Liverpool dhidi ya vilabu vya Ujerumani kabla ya mchezo wa leo
Liverpool wameendeleza rekodi yao ya kutofungwa na vilabu vya Ujerumani ndani ya uwanja wao wa Anfield, kwani rekodi kutoka 101greatgoals zinaonesha Liverpool hajawahi kufungwa katika uwanja wao wa nyumbani na vilabu vya Ujerumani katika jumla ya mechi zake 13 alizocheza kabla ya mchezo huu. Sevilla, Shakhtar Donetsk na Villarreal ndio zimefuzu nusu fainali.
Video ya magoli ya Liverpool vs Dortmund
 
Siku moja baada ya michezo ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kuchezwa na kushuhudia vilabu kadhaa vikiaga mashindano hayo, usiku wa April 14 ilikuwa ni zamu ya kushuhudia robo fainali ya michuano ya UEFA Europa league.
Miongoni mwa michezo iliyokuwa inatazamwa usiku wa April 14 ni mchezo kati ya Liverpool dhidi ya Borrusia Dortmund uliyochezwa katika dimba la Anfield, mchezo huo ulimalizika kwa Liverpool kuibuka na ushindi wa goli 4-3, hivyo kuiondoa Dortmund kwa aggregate ya 5-4.
3330D88E00000578-3540569-image-a-148_1460669635304
Magoli ya Dortmund yalifungwa na Henrik Mkhitaryan dakika ya 5, Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 9 na Marco Reus dakika ya 57, wakati magoli ya Liverpool yalifungwa na Divock Origi dakika ya 48, Philippe Coutinho dakika ya 66, Mamadou Sakho  dakika ya 78 na Dejan Lovren dakika ya 90.
as
Hii ndio rekodi ya Liverpool dhidi ya vilabu vya Ujerumani kabla ya mchezo wa leo
Liverpool wameendeleza rekodi yao ya kutofungwa na vilabu vya Ujerumani ndani ya uwanja wao wa Anfield, kwani rekodi kutoka 101greatgoals zinaonesha Liverpool hajawahi kufungwa katika uwanja wao wa nyumbani na vilabu vya Ujerumani katika jumla ya mechi zake 13 alizocheza kabla ya mchezo huu. Sevilla, Shakhtar Donetsk na Villarreal ndio zimefuzu nusu fainali.
Video ya magoli ya Liverpool vs Dortmund
Toa maoni yako kwa habari hii kwa kuweka email yako hapa,na endelea kutufatilia zaidi Ukurasa wa habari

0 comments:

 
Supported by AMAGA Media services : | |
Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
Templete Designed by Abdallah Magana
Proudly powered by Blogger