Home »
» PICHA 7: Rais Magufuli na Rais Kagame walivyoweka baraka zao kwenye daraja la Rusumo
PICHA 7: Rais Magufuli na Rais Kagame walivyoweka baraka zao kwenye daraja la Rusumo
.
Ni safari ya kwanza ya nje ya nchi kwa
Rais Magufuli toka alipoteuliwa kuwa Rais wa jamuhuri ya muungano wa
Tanzania October 2015, kasafiri kwa gari kwenda Rwanda ambapo kwenye
siku yake ya kwanza yeye pamoja na Rais Kagame wamezindua daraja la
Rusumo kwenye mpaka wa Tanzania na Rwanda.
.
.
.
.
0 comments:
Post a Comment