Home » » Rais Magufuli ametengua tena uteuzi wa mtendaji mwingine wa Serikali

Rais Magufuli ametengua tena uteuzi wa mtendaji mwingine wa Serikali

u
April 14 2016 imetolewa taarifa kutoka Ikulu na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Mhandisi John Kijazi ikieleza kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mhariri mtendaji  wa magazeti ya serikali ‘TSN’, Gabriel Nderumaki.
Rais Magufuli ametengua uteuzi huo kuanzia March 18 2016, kufuatia kutenguliwa kwa uteuzi huo, Rais Magufuli amemteua Tuma Abdallah kukaimu nafasi hiyo ambapo Tuma Abdallah ni Mhariri Mtendaji Msaidizi wa Magazeti ya Serikali ‘TSN’.
ikulu
 
Toa maoni yako kwa habari hii kwa kuweka email yako hapa,na endelea kutufatilia zaidi Ukurasa wa habari

0 comments:

 
Supported by AMAGA Media services : | |
Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
Templete Designed by Abdallah Magana
Proudly powered by Blogger