Home » » TRA WILAYA YA SUMBAWANGA MJINI YATOA MSAADA KWA WATOTO YATIMA

TRA WILAYA YA SUMBAWANGA MJINI YATOA MSAADA KWA WATOTO YATIMA

     
































 Katika kusherekea sikukuu ya mlipa kodi nchini TRA mkoani Rukwa,Wilaya ya Sumbawanga Mjini wametoa msaada kwa kituo cha kulelea watoto kilichopo kata ya Katandala


Meneja wa TRA Wilayani Sumbawanga mjini MH: Jonh Palingo akikabidhi baadhi ya bidhaa kwa kituo cha kulelea watoto yatima ambacho kinamilikiwa na kanisa la Romani Cathoric
Toa maoni yako kwa habari hii kwa kuweka email yako hapa,na endelea kutufatilia zaidi Ukurasa wa habari

0 comments:

 
Supported by AMAGA Media services : | |
Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
Templete Designed by Abdallah Magana
Proudly powered by Blogger