Home » » MTOTO ATUPWA DAMPO MKOANI IRINGA

MTOTO ATUPWA DAMPO MKOANI IRINGA

Kila kukicha maovu yanaendelea kutendeka duniani,Na leo mkoani Iringa kichanga kimeokotwa dampo. Kichanga hicho ambacho hakikufikisha muda wake (premature) kiliokotwa maeneo ya Dampo la pili,Mwang'ingo mkoani Iringa.

 Na huyu hapa chini ni binti ambaye anasadikika kutupa kichanga huyo.

 

Wakazi wa eneo la Mwang'ingo wakishuhudia tukio hilo mapema leo asubuhi.

Toa maoni yako kwa habari hii kwa kuweka email yako hapa,na endelea kutufatilia zaidi Ukurasa wa habari

0 comments:

 
Supported by AMAGA Media services : | |
Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
Templete Designed by Abdallah Magana
Proudly powered by Blogger