Home » » MATOKEO YA DARASA LA SABA HAYA HAPA,UFAULU WAONGEZEKA

MATOKEO YA DARASA LA SABA HAYA HAPA,UFAULU WAONGEZEKA

DK. CHARLES E. MSONDE AKITANGAZA MATOKEO YA DARASA LA SABA   OFISINIKWAKE,MSONDA AMESEMA MATOKEO YA MWAKA HUU UFAURU WAKE NI MKUBWA UKILINGANISHA NA MWAKA JANA


Matokeo ya Darasa la 7 kwa mwaka 2014 yametangazwa na Baraza la Mitihani Tanzania Necta ambapo katika matokeo hayo ya mwaka huu yanaonyesha Kiwango cha ufaulu kupanda kwa asilimia 56.99 Tofauti na ufaulu wa mwaka jana ambao ulikuwa Asilimia 51.6 Huku mkoa wa Dar es Salaam ukiongoza.

 HAYA HAPA NDO MATOKEO YENYEWE:

NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA

PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS




 
Toa maoni yako kwa habari hii kwa kuweka email yako hapa,na endelea kutufatilia zaidi Ukurasa wa habari

0 comments:

 
Supported by AMAGA Media services : | |
Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
Templete Designed by Abdallah Magana
Proudly powered by Blogger