Home » » MBRAZIL WA YANGA AANZA RASMI MAZOEZI

MBRAZIL WA YANGA AANZA RASMI MAZOEZI


Kiungo Mbrazil, Emerson de Oliveira Neves Roque wa pili kulia akiwa mazoezini na wachezaji wenzake, Mbrazl Andrey Coutinho kulia, Hamisi Kiiza Hussein Javu asubuhi ya leo katika Uwanja wa Shule ya Sekondari Loyola, Mabibo, Dar es Salaam. Emerson amewasili jana nchini kwa ajili ya majaribio Yanga SC. 

   Emerson amewasili jana nchini kwa ajili ya majaribio Yanga SC. 


Toa maoni yako kwa habari hii kwa kuweka email yako hapa,na endelea kutufatilia zaidi Ukurasa wa habari

0 comments:

 
Supported by AMAGA Media services : | |
Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
Templete Designed by Abdallah Magana
Proudly powered by Blogger