Home » » MKUTANO WA 16 & 17 WA BUNGE LA JAMHULI YA MUUNGANO WA TANZANIA

MKUTANO WA 16 & 17 WA BUNGE LA JAMHULI YA MUUNGANO WA TANZANIA



JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

BUNGE LA TANZANIA

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MKUTANO WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

TAHERE 4 – 28 NOVEMBA, 2014 – DODOMA

Kufuatia uwepo wa Bunge Maalum la Katiba lililomalizika mwezi Oktoba, Mkutano wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa Kumi na Sita na wa Kumi na Saba ilipangwa kufanyika kwa pamoja kuanzia tarehe 4 – 28 Novemba, 2014 mjini Dodoma
Toa maoni yako kwa habari hii kwa kuweka email yako hapa,na endelea kutufatilia zaidi Ukurasa wa habari

0 comments:

 
Supported by AMAGA Media services : | |
Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
Templete Designed by Abdallah Magana
Proudly powered by Blogger