DIAMOND ACHUKUA TUZO TATU CHANNEL O MUSIC VIDEO AWARDS 2014

 .

.
.
Macho ya Watanzania wengi kwa siku ya Jumamosi Nov  29 yalielekezwa kwenye ukumbi wa Nasrec Expo Centre Afrika Kusini sehemu ambako zilikua zikitolewa tuzo za wateule wa Channel O Music Video Awards ‘CHOMVA’
Furaha tuliyokuwa nayo Watanzania ilikua kubwa baada ya kuona kijana kutoka nyumbani Tanzania kuwa ni miongoni mwa vijana walioshinda tuzo hizo katika vipengele (3) ambavyo ni Most Gifted East,Most Gifted Afro Pop na Most Gifted Newcomer.
Hii ndio orodha kamili ya washindi
Most Gifted R&B video
Crazy but Amazing-Donald
Most Gifted West Video
‘Turn Up-Olamide
Most Gifted Ragga/Dancehall
Buffalo Soulja
The Most Gifted Kwaito
Uhuru ft Oskido & Professor Kalawa -tjukutja
Most Gifted East Video 
Diamond Platnumz
Most Gifted Dance Video 
Busiswa-Ngoku
Most Gifted Hip Hop Video 
AKA- Congratulate
Most Gifted Newcomer
Diamond Platnumz
Most Gifted Male Video 
Casper Nyovest-Doc Shebeleza
Most Gifted Female Video
Tiwa Savage-Eminado
Most Gifted Afro Pop Video
Diamond Platnumz
Most Gifted duo/group/featurning
KCEE ft Wizkid-Pull Over
Most Gifted Video of the Year
Carsper  Nyovest- Dos Shebeleza

.
.
.
..
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
..
..
DSC_1469
.
DSC_1470
.
.
.
.

.Diamond Platnumz akizungumza machache baada ya kushindi ya Most Gifted Afro Pop

.
.
.

Mtangazaji na Mwimbaji Vaness Mdee akipiga Selfiee na Diamond,Batu Tale baada ya ushindi wa tuzo Tatu.

.

.Ma Meneja wa Diamond Platnumz wakiwa na furaha baada ya kijana wao kunyakua tuzo tatu CHOMVA

.
.Chanzo na Millardayo.com

SHEIKH PONDA AHACHIWA HURU......HAPELEKWA MAHABUSU KWA KOSA LA UCHOCHEZI


 



    Sheikh Ponda akiwa ndani ya Mahakama Kuu akisubiri hukumu.



    Wakili wa Sheikh Ponda, Bw Juma Nassoro akizungumza jambo na mteja wake mahakamani hapo. 



    …. Nassoro akiteta jambo na Sheikh Ponda.



    Askari akidumisha ulinzi mahakamani hapo.



    Sheikh Ponda  akitoka nje ya Mahakama Kuu baada ya kushinda Kesi ya Ardhi iliyokuwa ikimkabili kisha kurudi mahabusu katika gereza la Segerea.



    ….akipanda Karandinga  la magereza.


    Sheikh Ponda akiwa ndani ya gari la magereza tayari kwa kurudi rumande.

    MAHAKAMA  Kuu ya Tanzania imemuachia huru aliyekuwa Katibu wa Taasisi za Kiislam, Sheikh Ponda Issa Ponda baada ya kuona hana hatia dhidi ya Kesi ya madai ya Ardhi ya Agrekanza inayomilikiwa na Afidhi Self  iliyokuwa inamkabili.

    Akisoma Mashtaka hayo Mwanasheria wa Serikali, Tumaini Kweka mbele ya Jaji, Augustino Shangwe alisema baada ya kupitia vifungu vyote mahakama imejiridhisha na kuona Sheikh Ponda hana hatia yoyote na kumuachia huru tangu leo lakini katika hali ya kushangaza Sheikh Ponda amerudishwa rumande akisubiri kesi nyingine ya madai ya uchochezi,  Mkoani Morogoro inayomkabili.

    MAGAZETI YA LEO NOV 28,2014 HAYA HAPA

     
    .
    .
    .


    ;
    ;
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    DSC06195
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
     
    Supported by AMAGA Media services : | |
    Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
    Templete Designed by Abdallah Magana
    Proudly powered by Blogger