#HABARIZILIZOTUFIKIA HIVI PUNDE:MOROGORO
Jeshi la polisi mkoani Morogoro linawashikilia watu 9 waliokuwa wamejifungia msikitini katika eneo la Kidatu kilombero wakiwa na silaha mbali mbali na Vifaa vya milipuko ambapo katika operesheni hiyo Askari mmoja amejeruhiwa.Endelea kufuatilia taarifa zetu kufahamu zaidi
CHANZO;ITV
0 comments:
Post a Comment