Home » » WATU 9 WAKAMATWA MSIKITINI WAKIWA NA VIFAA VYA MLIPUKO....MOROGORO

WATU 9 WAKAMATWA MSIKITINI WAKIWA NA VIFAA VYA MLIPUKO....MOROGORO

ITV Tanzania's photo.
Name:  Gaidi1.png
Views: 0
Size:  246.3 KB
 Name:  gaidi3.png
Views: 0
Size:  231.1 KB
 Name:  gaidi2.png
Views: 0
Size:  218.4 KB
  
#‎HABARIZILIZOTUFIKIA‬ HIVI PUNDE:MOROGORO
Jeshi la polisi mkoani Morogoro linawashikilia watu 9 waliokuwa wamejifungia msikitini katika eneo la Kidatu kilombero wakiwa na silaha mbali mbali na Vifaa vya milipuko ambapo katika operesheni hiyo Askari mmoja amejeruhiwa.Endelea kufuatilia taarifa zetu kufahamu zaidi
CHANZO;ITV


                                  
Toa maoni yako kwa habari hii kwa kuweka email yako hapa,na endelea kutufatilia zaidi Ukurasa wa habari

0 comments:

 
Supported by AMAGA Media services : | |
Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
Templete Designed by Abdallah Magana
Proudly powered by Blogger