Home » » WATU 20 WAMEFARIKI DUNIA BAADA YA KUFUNIKWA NA KIFUSI....KAHAMA

WATU 20 WAMEFARIKI DUNIA BAADA YA KUFUNIKWA NA KIFUSI....KAHAMA

 East Africa Television (EATV)'s photo.


Wachimbaji madini wadogo 20 waliokuwa wakichimba katika machimbo ya dhahabu ya Kalole wilayani Kahama mkoa wa Shinyanga, wamefariki dunia baada ya kufunikwa na kifusi usiku wa kuamkia leo.
Mungu azilaze roho za marehemu mahali peponi
Toa maoni yako kwa habari hii kwa kuweka email yako hapa,na endelea kutufatilia zaidi Ukurasa wa habari

0 comments:

 
Supported by AMAGA Media services : | |
Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
Templete Designed by Abdallah Magana
Proudly powered by Blogger