Home »
» WATU 20 WAMEFARIKI DUNIA BAADA YA KUFUNIKWA NA KIFUSI....KAHAMA
WATU 20 WAMEFARIKI DUNIA BAADA YA KUFUNIKWA NA KIFUSI....KAHAMA
Wachimbaji madini wadogo 20 waliokuwa wakichimba katika machimbo ya
dhahabu ya Kalole wilayani Kahama mkoa wa Shinyanga, wamefariki dunia
baada ya kufunikwa na kifusi usiku wa kuamkia leo.
Mungu azilaze roho za marehemu mahali peponi
Toa maoni yako kwa habari hii kwa kuweka email yako hapa,na endelea kutufatilia zaidi Ukurasa wa habari
0 comments:
Post a Comment