Home »
» MADEREVA WA MABASI YAENDAYO WILIYANI....WAGOMA JIJINI MBEYA
MADEREVA WA MABASI YAENDAYO WILIYANI....WAGOMA JIJINI MBEYA
Kituo cha Mabasi Nane nane, Jijini Mbeya. Eneo ambalo mabasi ya wilaya za Kyela/Tukuyu na Mbarali huwa yanaanzia safari zao likiwa tubu baada ya Madereva wa mabasi hayo kugoma chanzo kikiwa ni kukamatwa mara kwa mara barabarani pasipo kuwa na makosa.
0 comments:
Post a Comment