Home » » UPDATE KUTOKA MKWAKWANI: MGAMBO WAIVUTA SHATI AZAM FC

UPDATE KUTOKA MKWAKWANI: MGAMBO WAIVUTA SHATI AZAM FC





                                       




Mabingwa wa ligi kuu Tanzania bara Azam FC wametoa sare ya tatu mfululizo katika mfululizo wa michuano ya ligi kuu Tanzania baada ya kulazimishwa sare ya bila kufungana na maafande wa jeshi la kujenga taifa JKT Mgambo katika dimba la Mkwakwani Jijini Tanga
Toa maoni yako kwa habari hii kwa kuweka email yako hapa,na endelea kutufatilia zaidi Ukurasa wa habari

0 comments:

 
Supported by AMAGA Media services : | |
Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
Templete Designed by Abdallah Magana
Proudly powered by Blogger