Home » » MAN UNITED WAREJEA NYUMBANI BAADA YA KAMBI YA MAREKANI

MAN UNITED WAREJEA NYUMBANI BAADA YA KAMBI YA MAREKANI


Mshambuliaji mpya wa Manchester United, Romelu Lukaku aliyesajiliwa kwa dau la Pauni Milioni 75 kutoka Everton akisaini jezi ya shabiki wa timu hiyo baada ya kuwasili mjini Manchester leo wakitokea Marekani ambako walikwenda kuweka kambi ya kujiandaa na msimu mpya pamoja na kucheza mechi za kujipima nguvu za mashindano ya Kombe la Mabingwa wa Kimataifa PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
Toa maoni yako kwa habari hii kwa kuweka email yako hapa,na endelea kutufatilia zaidi Ukurasa wa habari

0 comments:

 
Supported by AMAGA Media services : | |
Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
Templete Designed by Abdallah Magana
Proudly powered by Blogger