Home » » LUKAKU AFANYA KILICHOMPELEKA MAN UNITED...CITY WAFA 2-0 MAREKANI

LUKAKU AFANYA KILICHOMPELEKA MAN UNITED...CITY WAFA 2-0 MAREKANI

Lukaku stole in front of Manchester City goalkeeper Ederson who had rushed off his line in the 37th minute

Mshambuliaji Mbelgiji Romelu Lukaku akishangilia baada ya kuifungia Manchester United  bao la kwanza dakika ya 37 akimalizia pasi ya 'mshikaji' wake, Mfaransa Paul Pogba katika ushindi wa 2-0 dhidi ya mahasimu, Manchester City Alfajiri yaa leo Uwanja wa NRG mjini Houston, Texas, Marekani. Bao la pili la United lilifungwa na Marcus Rashford dakika ya 39 akimalizia pasi ya Henrikh Mkhitaryan PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
Toa maoni yako kwa habari hii kwa kuweka email yako hapa,na endelea kutufatilia zaidi Ukurasa wa habari

0 comments:

 
Supported by AMAGA Media services : | |
Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
Templete Designed by Abdallah Magana
Proudly powered by Blogger