Home » » Mtu mmoja apigwa risasi na kuuawa Mbeya.

Mtu mmoja apigwa risasi na kuuawa Mbeya.

Kwenye Magazeti ya Tanzania leo July 25, 2017 issue mbalimbali zimechukua headlines ambapo miongoni mwao ni kuhusu Mkazi mmoja wa Kyela, Mbeya Erick Mwangonda kuuawa kwa risasi na watu wasiofahamika akiwa kwenye banda lake la biashara.
Mwendesha Bajaj mkazi wa Njoro, Moshi ameuawa na mwili wake kufukiwa nyuma ya nyumba ya mtuhumiwa wa mauaji hayo wilayani Siha, Kilimanjaro.
Toa maoni yako kwa habari hii kwa kuweka email yako hapa,na endelea kutufatilia zaidi Ukurasa wa habari

0 comments:

 
Supported by AMAGA Media services : | |
Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
Templete Designed by Abdallah Magana
Proudly powered by Blogger