katika Uwanja wa Kinesi uliopo Victor Wanyama Street ambapo July 20,
2017 tulishuhudia safari ya Kauzu FC kwenye michuano hiyo ikifika mwisho
baada ya kufungwa kwa penalti 4-2 dhidi ya Stimtosha.
Mgeni Rasmi katika mchezo wa Kauzu FC vs Stimtosha, Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete
wa kawaida ambapo Kauzu FC wakiwa wa mwanzo kupata bao la kuongoza
lililofungwa na Nahodha Geofrey Taita dakika ya 22 kabla ya Ally Kagawa
kuisawazishia Stimtosha dakika ya 72.
Mgeni Rasmi Ridhiwani Kikwete akikabidhi zawadi kwa Stimtosha FC baada ya kuishinda Kauzu FC kwenye mchezo wa Ndondo Cup
mbalimbali waliojitokeza kutazama mchezo huo na ukakosa kumuona Chief wa
Kauzu baada na kabla ya kufungwa.
0 comments:
Post a Comment