Home » » PEP AMSAINI DANILO WA REAL MADRID MIAKA MITANO MAN CITY

PEP AMSAINI DANILO WA REAL MADRID MIAKA MITANO MAN CITY

Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola akimkabidhi jezi ya timu hiyo mchezaji mpya, beki wa pembeni, Mbrazil, Danilo (kaatikati) baada ya kukamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 27 kutoka Real Madrid akisaini mkataba wa miaka mitano PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
Toa maoni yako kwa habari hii kwa kuweka email yako hapa,na endelea kutufatilia zaidi Ukurasa wa habari

0 comments:

 
Supported by AMAGA Media services : | |
Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
Templete Designed by Abdallah Magana
Proudly powered by Blogger