Home » » Manara ;Haruna Niyonzima ni mali ya simba

Manara ;Haruna Niyonzima ni mali ya simba

 
Baada ya headlines za muda mrefu kuhusiana na club ya Simba kuhusishwa kumsajili kiungo wa kimataifa wa Rwanda aliyekuwa anaichezea Yanga Haruna Niyonzima, kwa mara ya kwanza leo August 1 2017 Simba wamekubali na kuweka wazi.
Simba kupitia mkuu wao wa idara ya habari na mawasiliano Haji Manara wametangaza rasmi kumsajili Niyonzima ambaye bado yupo kwao Rwanda akimalizia mambo yake binafsi ya kifamilia na ataungana na timu Tanzania.
“Kuhusu Juuko ni mchezaji wetu na ataungana na timu suala la kwenda Orlando hatujapata taarifa, kuhusu Haruna ni mchezaji wa Simba ukiona ndege imetua hapa na wachezaji wa Simba ujue ndani yupo Haruna au anaweza kuja mapema kabla ya timu” >>> Manara

Toa maoni yako kwa habari hii kwa kuweka email yako hapa,na endelea kutufatilia zaidi Ukurasa wa habari

0 comments:

 
Supported by AMAGA Media services : | |
Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
Templete Designed by Abdallah Magana
Proudly powered by Blogger