Home » » Muumini apigwa risasi akiingia Kanisani Dar es Salaam

Muumini apigwa risasi akiingia Kanisani Dar es Salaam



Miongoni mwa issue kadhaa zilizojadiliwa kwenye Magazeti ya Tanzania leo July 24, 2017 ni pamoja na issue ya mkazi mmoja wa Ubungo Kibangu Dar es Salaam Adrian Mpande kunusurika kifo baada ya kupigwa risasi wakati akiingia Kanisani.

 
Toa maoni yako kwa habari hii kwa kuweka email yako hapa,na endelea kutufatilia zaidi Ukurasa wa habari

0 comments:

 
Supported by AMAGA Media services : | |
Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
Templete Designed by Abdallah Magana
Proudly powered by Blogger