Home » » CHICHARITO ASAINI MIAKA MITATU WEST HAM

CHICHARITO ASAINI MIAKA MITATU WEST HAM

Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United, Javier Hernandez 'Chicharito' akiwa ameshika jezi ya West Ham United baada ya kukamilisha uhamisho wake wa Pauni Milioni 16 kutoka Bayer Leverkusen ya Ujerumani akisaini mkataba wa miaka mitatu na atakuwa analipwa Pauni 140,000 kwa wiki PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
Toa maoni yako kwa habari hii kwa kuweka email yako hapa,na endelea kutufatilia zaidi Ukurasa wa habari

0 comments:

 
Supported by AMAGA Media services : | |
Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
Templete Designed by Abdallah Magana
Proudly powered by Blogger