Home » » UPDATE;Man U Vs Arsenal

UPDATE;Man U Vs Arsenal


 
Update kutoka OT ambako kuna mpambano wa ligi kuu nchini England kati ya Man U Vs Arsenal mpaka kipindi cha kwanza kinaisha man u wapo mbele kwa magoli 2-1 dhidi ya Arsenal.
Magoli ya man u yamefungwa na Rashford na goli la Arsenal likifungwa na Welback...Kaa nami kwa motekeo zaidi
Toa maoni yako kwa habari hii kwa kuweka email yako hapa,na endelea kutufatilia zaidi Ukurasa wa habari

0 comments:

 
Supported by AMAGA Media services : | |
Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
Templete Designed by Abdallah Magana
Proudly powered by Blogger