Home » » MBEYA CITY YAIMALIZA JKT BAO 2-1 KARUME

MBEYA CITY YAIMALIZA JKT BAO 2-1 KARUME




Kikosi cha Mbeya City kimejiongezea pointi tatu muhimu katika Ligi Kuu Bara baada ya kuichapa JKT Ruvu kwa mabao 2-1 kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam, leo.

Mbeya City ilipata mabao yake yake mawili kupitia Hassan Mwasapili na Yohanna Morris na Mussa Juma akaifungia JKT bao moja la kufutia machozi.

Kikosi cha Mbeya City, kilisimama vema sehemu ya kiungo kikiwatumia wakongwe Haruna Moshi 'Boban', Ramadhani Chombo 'Redondo' na kinda Raphael Alfa na kuipa wakati mgumu JKT.

MBEYA CITY 
JKT RUVU




Toa maoni yako kwa habari hii kwa kuweka email yako hapa,na endelea kutufatilia zaidi Ukurasa wa habari

0 comments:

 
Supported by AMAGA Media services : | |
Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
Templete Designed by Abdallah Magana
Proudly powered by Blogger