Home » » RATIBA YA LIGI KUU ENGLAND WIKIEND HII HIPO HAPA

RATIBA YA LIGI KUU ENGLAND WIKIEND HII HIPO HAPA

 
   
Image caption Manchester City watakutana na viongozi wa ligi Leicester City Jumamosi
Ligi kuu ya soka ya England inatarajiwa kuendelea tena umamosi kwa michezo mbalimbali katika viwanja tofauti, Manchester City watakuwa wenyeji wa Leicester, Aston Villa watamenyana na Norwich city, Liverpool watawaalika Sunderland, Newcastle united dhidi ya West Brom, Stoke watakuwa wenyeji wa Everton,Swansea watawakabili Crystal Palace, Watford watakuwa wageni wa Tottenham, na Southampton watakuwa nyumbani dhidi ya West Ham.
 
Ratiba kamili:

Jumamosi 6 Februari, 2016 (Saa za Afrika Mashariki)

  • Man City v Leicester 15:45
  • Aston Villa v Norwich 18:00
  • Liverpool v Sunderland 18:00
  • Newcastle v West Brom 18:00
  • Stoke v Everton 18:00
  • Swansea v Crystal Palace 18:00
  • Tottenham v Watford 18:00
  • Southampton v West Ham 20:30

Jumapili 7 Februari, 2016

  • Bournemouth v Arsenal 16:30
  • Chelsea v Man Utd 19:00
Toa maoni yako kwa habari hii kwa kuweka email yako hapa,na endelea kutufatilia zaidi Ukurasa wa habari

0 comments:

 
Supported by AMAGA Media services : | |
Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
Templete Designed by Abdallah Magana
Proudly powered by Blogger