Ripoti kutoka Dodoma leo asubuhi ni hii ya ajali ya
gari la mafuta lililodondoka na kulipuka katika eneo la Kibaigwa, hadi
sasa hakuna taarifa kamili ya ajali hii. Endelea kukaa karibu na keneth M Mwandemange ili zikinifikia nikusogezee kwa wakati.
Gari la mafuta likiendelea kuteketea kwa moto
.
Wananchi wakishuhudia ajali
.
Chanzo;MillardAyo.com
0 comments:
Post a Comment