Home » » UPDATE KUTOKA MKWAKWANI,TANGA MGAMBO Vs YANGA

UPDATE KUTOKA MKWAKWANI,TANGA MGAMBO Vs YANGA




 Yanga wanapata goli la kwanza katika Dk 77 lililofungwa na Saimon Msuva,Na katika Dk 82 Hamis Tambwe anaiandikia yanga goli la pili katika uwanja huu wa mkwakwani Tanga

Toa maoni yako kwa habari hii kwa kuweka email yako hapa,na endelea kutufatilia zaidi Ukurasa wa habari

0 comments:

 
Supported by AMAGA Media services : | |
Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
Templete Designed by Abdallah Magana
Proudly powered by Blogger