Kiungo Michael Carrick Amesaini mkataba wa mwaka mmjoma katika kikosi cha Luis Van Gaa,Kiungo huyo Raia wa Uingeleza Amepewa mkata huo baada ya kuonyesha kiwango kizuri katika mechi yao dhidi ya Tottenahm katika uwanja wa old Traforrd.
Carrick aliyetua United mwaka 2006 akitokea Spurs kwa ada ya pound million 18.6 amekua kiungo tegemeo katika kikosi hicho cha mashetani wekundu tangu enzi za babu Fergieson mpaka sasa.
Carrick ni miongoni mwa wachezaji watakao cheza kesho katika mechi ngumu dhidi ya wapinzani wao wa jadi Liverpool katika dimba la Anfried jiji Liverpool.
0 comments:
Post a Comment