Home » » CARRICK AJIFUNGA MWAKA MMOJA MAN U

CARRICK AJIFUNGA MWAKA MMOJA MAN U

Kiungo Michael Carrick Amesaini mkataba wa mwaka mmjoma katika kikosi cha Luis Van Gaa,Kiungo huyo Raia wa Uingeleza Amepewa mkata huo baada ya kuonyesha kiwango kizuri katika mechi yao dhidi ya Tottenahm katika uwanja wa old Traforrd.
Carrick aliyetua United mwaka 2006 akitokea Spurs kwa ada ya pound million 18.6 amekua kiungo tegemeo katika kikosi hicho cha mashetani wekundu tangu enzi za babu Fergieson mpaka sasa.

Carrick has made 17 appearances for Manchester United this seasonĀ 

Carrick ni miongoni mwa wachezaji watakao cheza kesho katika mechi ngumu dhidi ya wapinzani wao wa jadi Liverpool katika dimba la Anfried jiji Liverpool.
Toa maoni yako kwa habari hii kwa kuweka email yako hapa,na endelea kutufatilia zaidi Ukurasa wa habari

0 comments:

 
Supported by AMAGA Media services : | |
Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
Templete Designed by Abdallah Magana
Proudly powered by Blogger