Home » » CHELSEA NJE UEFA,BAYERN YAUA 7-0

CHELSEA NJE UEFA,BAYERN YAUA 7-0



David Luiz gets up above Branislav Ivanovic to power his header past Thibaut Courtois and send the game into extra time   David Luiz akiruka juu zaidi ya Branislav Ivanovic kupiga kichwa ambacho kilimshinda kipa Courtois jana usiku         
The Brazilian defender celebrated excitedly after scoring against his former club, sliding on his knees in front of the travelling fans      Beki wa PSG David Luiz akishangilia baada ya kuifungia timu yake goli la kusawazisha Dk 86             
Jose Mourinho's men cannot believe they have conceded another away goal as they trudge back towards the halfway line

Kikosi cha kocha Jose Mourinho kimetolewa katika mashindano ya Club bingwa barani Ulaya UEFA baada ya kutoka sare ya kufungana mabao 2-2 na PSG katika uwanja wa Staford Brigde kwa matokeo hayo Chelsea wanaondoka katika michuano hiyo kwa magoli mengi ya kufungwa nyumbani kwani katika mchezo wa kwanza Mjini Paris,Ufaransa timu hizo zilitoka sare ya kufungana 1-1
Kwa matokeo hayo (3-3) Chelsea wanaaga mashindano hayo maarufu barani Ulaya na Duniani kwa ujumla.

Katika mchezo mwingine wa michuano hiyo uliocheza mjini Munich wenyeji Bayern Munich walishusha kipigo cha mwizi kwa Shakhtar Donetsk kwa kuwafunga mabao 7-0,magoli ya Bayern yalifungwa na Thomas Muller mawili moja kwa penati,Jerome Boateng,Frank Ribery,Mario Gotze,Holger Badstuber na Robert Lewandowski
Robert Lewandowski slides the ball past Andriy Pyatov to make it 6-0 to Bayern Munich      Lewandowski akiteleza kufunga goli la sita

The defender slid in on Bayern midfielder Mario Gotze as he burst into the penalty area.
Toa maoni yako kwa habari hii kwa kuweka email yako hapa,na endelea kutufatilia zaidi Ukurasa wa habari

0 comments:

 
Supported by AMAGA Media services : | |
Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
Templete Designed by Abdallah Magana
Proudly powered by Blogger