Home » » UPDATE KUTOKA MTWARA MNYAMA AUNGURUMA

UPDATE KUTOKA MTWARA MNYAMA AUNGURUMA

 
 
 
Kipindi cha pili kimeanza, Simba wamekianza kwa kasi na kufanikiwa kupata bao la pili kupitia kwa Elius Maguli.
MAPUMZIKO:

Mapumziko kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaona mjini Mtwara, Simba inaongoza kwa bao moja lililofungwa na Danny Sserunkuma.


Ndanda wameshambulia zaidi kuanzia dakika ya 42 huku Simba wakilinda zaidi.
Toa maoni yako kwa habari hii kwa kuweka email yako hapa,na endelea kutufatilia zaidi Ukurasa wa habari

0 comments:

 
Supported by AMAGA Media services : | |
Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
Templete Designed by Abdallah Magana
Proudly powered by Blogger