Home » » AZAM YAITUNGUA KAGERA NA KUSHIKILIA USHUKANI WA VPL

AZAM YAITUNGUA KAGERA NA KUSHIKILIA USHUKANI WA VPL

                  
Mabingwa wa ligi kuu Tanzania bara Azam FC wamepata ushindi mnono wa magoli 3-1 Kagera sugar katika uwanja wa CCM Kirumba Jiji Mwanza.



   
Magoli ya mabingwa hao Wa VPL yamefungwa na Kipre Cheche 1 na Kavumbagu akitupia goli mbili huku wenyeji wao Kagera Sugar wakipata goli la kufutia macho goli,Kwa ushindi huo Azam anafikisha pointi 20 akiwa kilele tofauti ya pointi 3 dhidi ya Mtibwa Sugar na JKT Ruvu.

Azam FC wanatarajiwa kuanza safari ya kurudi Jiji Dar-es-salaam alfajiri ya kesho na kuingia kambini siku hiyo hiyo ya january 21,2015.
Toa maoni yako kwa habari hii kwa kuweka email yako hapa,na endelea kutufatilia zaidi Ukurasa wa habari

0 comments:

 
Supported by AMAGA Media services : | |
Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
Templete Designed by Abdallah Magana
Proudly powered by Blogger