Home » » MATOKEO YA FA CUP - 4th ROUND

MATOKEO YA FA CUP - 4th ROUND

                                               
Manchester City wakiwa nyumbani wamefungwa goli 2-0 na Middlesbrought katika mchezo wa FA Cup Raundi ya 4 katika uwanja wa Ethiad.
Magoli ya Middlesbrought yamefungwa na Patrick Bamford Dk ya 52 na Kike Dk ya 90
Bamford (second right) celebrates with his team-mates after scoring  at Etihad Stadium in the FA Cup fourth round
Bamford  (wa pili kulia)Akishangilia na wenzake baada ya kufunga goli katika uwanja wa Ethiad  leo

Manchester City players James Milner (left), Dedryck Boyata (centre) and Fernando look dejected after their side concede
Wachezaji wa Manchester City,James Milner Kushoto,Dedryck Boyata Katikati na Fernando wakiwa hawaamini kilichotoke
Toa maoni yako kwa habari hii kwa kuweka email yako hapa,na endelea kutufatilia zaidi Ukurasa wa habari

0 comments:

 
Supported by AMAGA Media services : | |
Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
Templete Designed by Abdallah Magana
Proudly powered by Blogger