MAGAZETI YA LEO JUMATANO


 




























                                                                                                             

    MATOKEO YA LA LIGA

    MATOKEO YA FA CUP - 4th ROUND

                                                   
    Manchester City wakiwa nyumbani wamefungwa goli 2-0 na Middlesbrought katika mchezo wa FA Cup Raundi ya 4 katika uwanja wa Ethiad.
    Magoli ya Middlesbrought yamefungwa na Patrick Bamford Dk ya 52 na Kike Dk ya 90
    Bamford (second right) celebrates with his team-mates after scoring  at Etihad Stadium in the FA Cup fourth round
    Bamford  (wa pili kulia)Akishangilia na wenzake baada ya kufunga goli katika uwanja wa Ethiad  leo

    Manchester City players James Milner (left), Dedryck Boyata (centre) and Fernando look dejected after their side concede
    Wachezaji wa Manchester City,James Milner Kushoto,Dedryck Boyata Katikati na Fernando wakiwa hawaamini kilichotoke

    HILI NDIO BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI TANZANIA,WALIOTEULIWA NA KUAPISHWA LEO IKULU.

     
    JK 

    Leo huenda ikawa moja ya siku ambazo zitaingia kwenye headlines kubwa za siasa TANZANIA 2014/2015 ambapo January 24 2015 mchana kulikuwa na taarifa za kujiuzulu kwa waziri Muhongo aliyekua kwenye Wizara ya nishati na madini. 
     1_01290.jpg

    Kubwa nyingine kwenye upande huohuo ni ishu ya Rais Kikwete kutangaza mabadiliko madogo ndani ya Baraza la Mawaziri ambako kuna waliohamishwa na wapo waliokuwa Manaibu Mawaziri sasa ni Mawaziri, list yote ni hii hapa;
     
    Mawaziri
    George Simbachawene – Waziri wa Nishati na Madini

    Mary Nagu- Waziri wa Nchi , Ofisi ya Rais- Mahusiano na Uratibu

    Christopher Chiza- Waziri Uwezeshaji na Uwekezaji

    Harrison Mwakyembe- Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki

    William Lukuvi- Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi

    Steven Wasira- Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika

    Samuel Sitta- Waziri wa Uchukuzi

    Jenista Muhagama- Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge

    Manaibu Waziri

    Stephen Masele - Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu Rais- Muungano

    Angela Kairuki - Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi

    Ummy Mwalimu - Naibu Waziri wa Katiba na Sheria

    Anne Kilango - Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi

    Charles Mwaijage - Naibu Waziri wa Nishati na Madini





    MAGAZETI YA LEO JANUARY 24,2014 YAPO HAPA

    .
    .
    .

    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
      Credit; Millardayo.com
     
    Supported by AMAGA Media services : | |
    Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
    Templete Designed by Abdallah Magana
    Proudly powered by Blogger