Home » » TANZANIA YANG'ARA TENA.....IDRIS SULTAN ASHINDA BIG BROTHER AFRICA HOTSHOTS 2014

TANZANIA YANG'ARA TENA.....IDRIS SULTAN ASHINDA BIG BROTHER AFRICA HOTSHOTS 2014


Idris

Leo ni siku ya 63 tangu yaanze mashindano ya Big Brother Africa, ndiyo siku ambayo imefanyika fainali ya #BBAHotshots kwa mwaka huu 2014.


Labda nikukumbushe kwamba Tanzania ndiyo nchi pekee iliyokuwa imebakiwa na mshiriki wake ndani ya Jumba la BBA katika ukanda wa Afrika Mashariki na tuliona namna ambavyo mastaa wengi wakitoa support kubwa kwa mshiriki huyo ambaye ni Idris.

 

Hatimaye usiku huu wa Desemba 07 historia nyingine imeandikwa Afrika, ambapo mwakilishi huyo kafanikiwa kuibuka mshindi.




Nimepita katika kurasa za mastaa mbalimbali Twitter, hiki ndicho kilichoandikwa na mastaa hao;



 
Toa maoni yako kwa habari hii kwa kuweka email yako hapa,na endelea kutufatilia zaidi Ukurasa wa habari

0 comments:

 
Supported by AMAGA Media services : | |
Copyright © 2015. UKURASA WA HABARI - All Rights Reserved
Templete Designed by Abdallah Magana
Proudly powered by Blogger